Monday, April 27, 2009
Tuesday, April 21, 2009
Saturday, April 18, 2009
Nimerudi ulingoni
Ndugu wanablogu,
Baada ya kimya cha muda mrefu, nimeamua kurudi katika mtandao huu muhimu! Kwa hakika, ni chombo muhimu! Tegemea kupata habari!
Baada ya kimya cha muda mrefu, nimeamua kurudi katika mtandao huu muhimu! Kwa hakika, ni chombo muhimu! Tegemea kupata habari!
Thursday, July 13, 2006
Which Monday, Prof. Chachage?
Last Monday, to be precise July 3, 2006, I phoned Prof. Chachage Seithy Chachage, fondly known as Comrade by fellow comrades. I wanted to make an appointment to meet him, among other things, to see what critical inputs he had over my draft already on his table.
“Kamwene… I’m currently at Kibaha doing some work but I’ll be at the office on Monday… see you then,” he said. We agreed and hang up my cellular phone.
The whole of last week I was busy reviewing a copy of the work I tabled to Comrade Chachage knowing I will meet him on Monday. It didn’t happen.
Yesterday, I woke up in the morning and tried to put everything in order knowing he was a no non-sense academician when it comes to academics. Just few minutes before I left my room, a friend of mine sent sms: “Prof. Chachage is dead”. I rarely joke with this friend. It started to enter my sense but I said NO to myself. It’s not possible. What will happen to my dissertation? Is there anyone who will adequately fill up his position?
I phoned a class mate to cross check. Comrade Chachage and the other Comrade, the late Harry Karokola, my undergraduate news-reporting lecturer, adequately taught me of multiple sourcing to confirm my issues. It was true. He collapsed and died. HE IS NO MORE.
In a span of two hours since I received first sms, over ten phone calls and 20 sms came in. Of all the sms, one was special: VERY Sad news, Comrade Chachage Seithy Chachage is no more.
I later accepted that it was not possible to meet him at his office, Tower block, Mlimani Campus, University of Dar es Salaam. He is no more. It is a big loss in the academic world and in particularly Sociology world, according to Mr. Faustine Rwambali, senior journalist and Bureau Chief with the regional weekly, the East African that Comrade Chachage used to contribute, sometimes.
However, I must admit that he has built a very strong foundation in my academic life.
I first heard of Comrade Chachage over twenty years ago. I didn’t know he would one day be my lecturer. It was from my late father whom they shared a school in Njombe. I was later introduced to him. Since then he had been my ‘father cum lecturer.’
Comrade Chachage was born on January 8, 1955 at Mtwango village in Njombe. He went to school in his home village, Malangali and Mzumbe Secondary Schools before joining University of Dar es Salaam for BA and MA studies in Sociology. He did his PhD (1986)at Glasgow in Scotland. He became Associte Professor in 1995 and full professor in 2003.
The other day in April last year Comrade Chachage recalled their schooldays few minutes before we finished the lecture: “Omega’s father was our dormitory prefect, he once fooled us at night that there was lion outside… we started to run away,’ he recalled.
Comrade Chachage joked with almost everyone. He enjoyed his days. We would seat and talk while enjoying our bottles until good hours but that never compromised his academic rules: “You will get what you deserve, whether it’s A, C or F,” he said repeatedly.
Comrade Chachage was resourceful. He was informed. From sports to bongo flava, from politics to business, from sociology to party joints.
It wasn’t by chance. He read a lot. He watched a lot. He listened to a lot.
One physician at Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) who hails from the same Mtwango village in Njombe with the late Professor told a very interesting story that during his schooldays, Comrade Chachage reviewed the bible. Isn’t it astonishing in the academic world? Was he born to be who he was in the academic world? I hope yes. They come and go, such people.
I remember sometimes in March last year one of our class members tried to criticize a work of a renowned Sociologist, Marx Weber in Prof. Chachage’s lecture apparently after reading some very few pages of the Weber’s work. The student mixed up and tried to fumble. Comrade Chachage quickly took over, blaming him and all of us for not reading: “You should never criticize something you have not read,” he said.
This message has always been in my mind when reviewing literature during the course of my dissertation. I hope it will continue in many other who had chance of being educated by Comrade Chachage.
It is safe to say that Comrade Chachage didn’t show up on that Monday. Was I misguided? Which Monday did you mean Prof. Chachage?
I salute you Comrade.
Let your soul rest in peace.
Omega
“Kamwene… I’m currently at Kibaha doing some work but I’ll be at the office on Monday… see you then,” he said. We agreed and hang up my cellular phone.
The whole of last week I was busy reviewing a copy of the work I tabled to Comrade Chachage knowing I will meet him on Monday. It didn’t happen.
Yesterday, I woke up in the morning and tried to put everything in order knowing he was a no non-sense academician when it comes to academics. Just few minutes before I left my room, a friend of mine sent sms: “Prof. Chachage is dead”. I rarely joke with this friend. It started to enter my sense but I said NO to myself. It’s not possible. What will happen to my dissertation? Is there anyone who will adequately fill up his position?
I phoned a class mate to cross check. Comrade Chachage and the other Comrade, the late Harry Karokola, my undergraduate news-reporting lecturer, adequately taught me of multiple sourcing to confirm my issues. It was true. He collapsed and died. HE IS NO MORE.
In a span of two hours since I received first sms, over ten phone calls and 20 sms came in. Of all the sms, one was special: VERY Sad news, Comrade Chachage Seithy Chachage is no more.
I later accepted that it was not possible to meet him at his office, Tower block, Mlimani Campus, University of Dar es Salaam. He is no more. It is a big loss in the academic world and in particularly Sociology world, according to Mr. Faustine Rwambali, senior journalist and Bureau Chief with the regional weekly, the East African that Comrade Chachage used to contribute, sometimes.
However, I must admit that he has built a very strong foundation in my academic life.
I first heard of Comrade Chachage over twenty years ago. I didn’t know he would one day be my lecturer. It was from my late father whom they shared a school in Njombe. I was later introduced to him. Since then he had been my ‘father cum lecturer.’
Comrade Chachage was born on January 8, 1955 at Mtwango village in Njombe. He went to school in his home village, Malangali and Mzumbe Secondary Schools before joining University of Dar es Salaam for BA and MA studies in Sociology. He did his PhD (1986)at Glasgow in Scotland. He became Associte Professor in 1995 and full professor in 2003.
The other day in April last year Comrade Chachage recalled their schooldays few minutes before we finished the lecture: “Omega’s father was our dormitory prefect, he once fooled us at night that there was lion outside… we started to run away,’ he recalled.
Comrade Chachage joked with almost everyone. He enjoyed his days. We would seat and talk while enjoying our bottles until good hours but that never compromised his academic rules: “You will get what you deserve, whether it’s A, C or F,” he said repeatedly.
Comrade Chachage was resourceful. He was informed. From sports to bongo flava, from politics to business, from sociology to party joints.
It wasn’t by chance. He read a lot. He watched a lot. He listened to a lot.
One physician at Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) who hails from the same Mtwango village in Njombe with the late Professor told a very interesting story that during his schooldays, Comrade Chachage reviewed the bible. Isn’t it astonishing in the academic world? Was he born to be who he was in the academic world? I hope yes. They come and go, such people.
I remember sometimes in March last year one of our class members tried to criticize a work of a renowned Sociologist, Marx Weber in Prof. Chachage’s lecture apparently after reading some very few pages of the Weber’s work. The student mixed up and tried to fumble. Comrade Chachage quickly took over, blaming him and all of us for not reading: “You should never criticize something you have not read,” he said.
This message has always been in my mind when reviewing literature during the course of my dissertation. I hope it will continue in many other who had chance of being educated by Comrade Chachage.
It is safe to say that Comrade Chachage didn’t show up on that Monday. Was I misguided? Which Monday did you mean Prof. Chachage?
I salute you Comrade.
Let your soul rest in peace.
Omega
Thursday, April 27, 2006
Ya Boss wa Daily News na THISDAY
Lazima nianze kwa kukiri kuwa ‘Washington consensus’, au utandawazi pamoja na ‘mikono’ yake kama soko huria vimeleta mabadiliko makubwa duniani kote.
Lazima pia nikiri kuwa mabadiliko hayo yamegusa takribani kila sekta ya jamii, pamoja na sekta ya habari.
Kama ni mfuatiliaji wa vyombo vya habari utagundua kuwa Tanzania suala la maadili ya uandishi wa habari, kwa mapana yake, linakuwa tete kila siku kila saa.
Kwa mujibu wa ‘literature’, wakati Fulani miaka ya 1970, vyombo vya habari viliinga mkono serikali, ‘hysterically’, kama Haji Konde anavyosema, katika kufuta ununuzi na matumizi ya mabasi kwa mashirika ya umma bila kujali athari zake kwa wafanyakazi ambao wengi wao walikuwa wanayategemea. Maada ya wiki chache, agizo lile lilishindwa kufanya kazi na serikali, kupitia kwa Waziri Mkuu, Mzee Kawawa na Waziri wa Uchukuzi, Jacob Lusinde waliamua mashirika ya umma yaendelee na utaratibu wa zamani.
Lakini ni katika kipindi hikihiki cha 1970s ambapo pia tulishuhudia ‘media’ ikiwaweka watu wa kawaida mbele. Tukumbuke Vifo vya Njaa Singida na ‘saga’ la Mwanakwacha.
Leo mambo yanaharibika. Naambiwa mambo tunayoyasikia katika ‘media’ kuhusu rushwa wanazopokea waandishi ni chembe tu ya tatizo lenyewe katika ‘industry’. Wapo wanaosema kuwa inatokana na hali ngumu ya maisha na wapo wanaosema tabia zetu zimebadilika mno kutokana na ‘utandawazi’, tumesahau maadili yetu. Lakini wanaotenda haya wanatoka katika makundi yote, wakubwa, wadogo, wanawake, wanaume, wenye elimu, wasio na elimu etc.
Leo nimesoma habari katika ‘front page’ kuwa ‘seasoned journalist’ anachunguzwa kuhusiana na rushwa. Katika ‘editorial’ ya jana (J’tano, February 26, 2006) ya ‘Daily News’ tunaambiwa wafanyakazi wa IPP Media na Mameneja wameshindwa kufikiri sawasawa kutokana na ushabiki wao. Aliye ‘conclude’ kuwa hawawezi kufikiri ndiye anayejua kama ni kweli au la. Naambiwa ‘stori’ ya boss huyo ilikuwapo siku nyingi, ila iliwekwa kando kwa kuwa ‘ethics’, sio sheria, haziruhusu.
Lakini katikati ya haya yote ni kuteleza kimaadili. Ilitegemewa vyombo vya habari, kama klabu au timu, wawe kitu kimoja katika kukemea. Ilivyo sasa, ni vigumu sana kwa ‘golikipa’ na ‘beki’ kupambana na adui. The ‘fourth estate’ inameguka.
Na kwa muundo na nguvu ya Baraza letu la Habari (MCT), kazi ipo.
Tangu Henry Morton Stanley, repota wa New York Times huyu, aje kumtafuta Dr. Livingstone, hadi leo hii, uandishi wa habari umekuwa na matatizo tofauti. Lakini je, tunaweza kujitatua?
Ushauri: Kabla ya kunipa ‘comments’ zako, tafuta na soma kwa makini “Daily News’ ya jana (J’tano, April 26) na THISDAY ya leo (Alhamisi, April 27) kabla ya kusema lolote. Vilevile pitia vyombo vya IPP, soma kuhusu Deusdedit Rutabingwa na uhamiaji wanavyosema.
naomba comment kuhusu:
1.Nafasi ya maadili ya uandishi wa habari katika hili.
2.Nafasi ya MCT katika kuepusha vita kama hii.
3.Nini kingefanyika ili kuepusha 'upepo' huu.
Kila la kheri.
Lazima pia nikiri kuwa mabadiliko hayo yamegusa takribani kila sekta ya jamii, pamoja na sekta ya habari.
Kama ni mfuatiliaji wa vyombo vya habari utagundua kuwa Tanzania suala la maadili ya uandishi wa habari, kwa mapana yake, linakuwa tete kila siku kila saa.
Kwa mujibu wa ‘literature’, wakati Fulani miaka ya 1970, vyombo vya habari viliinga mkono serikali, ‘hysterically’, kama Haji Konde anavyosema, katika kufuta ununuzi na matumizi ya mabasi kwa mashirika ya umma bila kujali athari zake kwa wafanyakazi ambao wengi wao walikuwa wanayategemea. Maada ya wiki chache, agizo lile lilishindwa kufanya kazi na serikali, kupitia kwa Waziri Mkuu, Mzee Kawawa na Waziri wa Uchukuzi, Jacob Lusinde waliamua mashirika ya umma yaendelee na utaratibu wa zamani.
Lakini ni katika kipindi hikihiki cha 1970s ambapo pia tulishuhudia ‘media’ ikiwaweka watu wa kawaida mbele. Tukumbuke Vifo vya Njaa Singida na ‘saga’ la Mwanakwacha.
Leo mambo yanaharibika. Naambiwa mambo tunayoyasikia katika ‘media’ kuhusu rushwa wanazopokea waandishi ni chembe tu ya tatizo lenyewe katika ‘industry’. Wapo wanaosema kuwa inatokana na hali ngumu ya maisha na wapo wanaosema tabia zetu zimebadilika mno kutokana na ‘utandawazi’, tumesahau maadili yetu. Lakini wanaotenda haya wanatoka katika makundi yote, wakubwa, wadogo, wanawake, wanaume, wenye elimu, wasio na elimu etc.
Leo nimesoma habari katika ‘front page’ kuwa ‘seasoned journalist’ anachunguzwa kuhusiana na rushwa. Katika ‘editorial’ ya jana (J’tano, February 26, 2006) ya ‘Daily News’ tunaambiwa wafanyakazi wa IPP Media na Mameneja wameshindwa kufikiri sawasawa kutokana na ushabiki wao. Aliye ‘conclude’ kuwa hawawezi kufikiri ndiye anayejua kama ni kweli au la. Naambiwa ‘stori’ ya boss huyo ilikuwapo siku nyingi, ila iliwekwa kando kwa kuwa ‘ethics’, sio sheria, haziruhusu.
Lakini katikati ya haya yote ni kuteleza kimaadili. Ilitegemewa vyombo vya habari, kama klabu au timu, wawe kitu kimoja katika kukemea. Ilivyo sasa, ni vigumu sana kwa ‘golikipa’ na ‘beki’ kupambana na adui. The ‘fourth estate’ inameguka.
Na kwa muundo na nguvu ya Baraza letu la Habari (MCT), kazi ipo.
Tangu Henry Morton Stanley, repota wa New York Times huyu, aje kumtafuta Dr. Livingstone, hadi leo hii, uandishi wa habari umekuwa na matatizo tofauti. Lakini je, tunaweza kujitatua?
Ushauri: Kabla ya kunipa ‘comments’ zako, tafuta na soma kwa makini “Daily News’ ya jana (J’tano, April 26) na THISDAY ya leo (Alhamisi, April 27) kabla ya kusema lolote. Vilevile pitia vyombo vya IPP, soma kuhusu Deusdedit Rutabingwa na uhamiaji wanavyosema.
naomba comment kuhusu:
1.Nafasi ya maadili ya uandishi wa habari katika hili.
2.Nafasi ya MCT katika kuepusha vita kama hii.
3.Nini kingefanyika ili kuepusha 'upepo' huu.
Kila la kheri.
Tuesday, April 25, 2006
Trafiki wa Ubungo: Media ilikuwa 'ethical'?
Sote bado tunakumbukumbu ya yaliyotokea ubungo ambapo 'majambazi' walitoa roho za watu na kupora fedha, Tsh 150 m, mali na NMB.
Majambazi wale walikuwa na silaha nzito, kwa mujibu wa vyombo vya habari.
Vyombo vya habari pia vimemnukuu Rais Kikwete akimwagiza Inspekta Jenerali wa Polisi, Kamanda Mwema kuwapandisha vyeo askari waliopambana na majambazi wale.
Lakini, tangu siku ya tukio lenyewe, trafiki 'shujaa' yule, amekuwa katika vyombo vya habari kwa picha na jina.
Nimekuwa na mjadala mfupi na watu wangu wa karibu kuhusu jinsi vyombo vya habari vilivyo'report' habari ile hasa kuhusu trafiki.
Kuna maswali kadhaa yaliyopamba mjadala wetu na nimeona ni vyema nikushirikishe:
1. Je, waandishi walijiweka katika nafasi ya trafiki yule kabla ya 'kupiga' stori ile?
2. Je, Uadui wa trafiki na 'wabaya wake' kutokana na kazi kubwa aliyofanya haumweki pabaya kiusalama?
3. Je, Kulikuwa na njia nyingine ya 'kupiga' stori ile bila kumuanika 'shujaa' yule?
3. Je, nini maana maadali ya vyombo vya habari? Yanaanzia wapi na yanaishia wapi?
Shiriki kwa kunipa hoja.
Majambazi wale walikuwa na silaha nzito, kwa mujibu wa vyombo vya habari.
Vyombo vya habari pia vimemnukuu Rais Kikwete akimwagiza Inspekta Jenerali wa Polisi, Kamanda Mwema kuwapandisha vyeo askari waliopambana na majambazi wale.
Lakini, tangu siku ya tukio lenyewe, trafiki 'shujaa' yule, amekuwa katika vyombo vya habari kwa picha na jina.
Nimekuwa na mjadala mfupi na watu wangu wa karibu kuhusu jinsi vyombo vya habari vilivyo'report' habari ile hasa kuhusu trafiki.
Kuna maswali kadhaa yaliyopamba mjadala wetu na nimeona ni vyema nikushirikishe:
1. Je, waandishi walijiweka katika nafasi ya trafiki yule kabla ya 'kupiga' stori ile?
2. Je, Uadui wa trafiki na 'wabaya wake' kutokana na kazi kubwa aliyofanya haumweki pabaya kiusalama?
3. Je, Kulikuwa na njia nyingine ya 'kupiga' stori ile bila kumuanika 'shujaa' yule?
3. Je, nini maana maadali ya vyombo vya habari? Yanaanzia wapi na yanaishia wapi?
Shiriki kwa kunipa hoja.
Monday, April 24, 2006
Ujambazi: Mh. Kikwete kawahi kumpandisha cheo trafiki?
Wengi bado tunakumbukumbu ya uporaji wa kinyama pale ubungo mataa.Maisha ya watu yalipotea, achilia mbali majeruhi.
Hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete aliwatembelea majeruhi hospitalini na kuagiza wale wote waliohusika na 'unyama' ule wakamatwe. Kazi hiyo inaendelea.
Rais Kikwete pia akaagiza kuwa watakaokamatwa, pamoja na 'watu wa benki' wliohusika, wafungukiwe mashtaka ya mauaji.
Mh. Kikwete pia aliamwagiza Inspekta Jenerali wa Polisi ampandishe cheo Trafiki alipambana na 'majambazi wale'.
Nimekuwa na mjadala mfupi na baadhi ya watu nilio nao karibu:
Maswali yaliyo tanda ni haya:
1. Je, ni mapema mno kwa Mh. Rais kuagiza trafiki yule apandishwe cheo wakati upelelzi bado unaendelea?
2. Je, kutajwa kwa askari yule katika vyomb vya habari kunamweka katika nafasi gani kiusalama?
3. Je, vyombo vya habari 'vimemlinda' kwa kiasi gani trafiki yule dhidi 'wabaya' wale?
Kila la kheri!
Hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete aliwatembelea majeruhi hospitalini na kuagiza wale wote waliohusika na 'unyama' ule wakamatwe. Kazi hiyo inaendelea.
Rais Kikwete pia akaagiza kuwa watakaokamatwa, pamoja na 'watu wa benki' wliohusika, wafungukiwe mashtaka ya mauaji.
Mh. Kikwete pia aliamwagiza Inspekta Jenerali wa Polisi ampandishe cheo Trafiki alipambana na 'majambazi wale'.
Nimekuwa na mjadala mfupi na baadhi ya watu nilio nao karibu:
Maswali yaliyo tanda ni haya:
1. Je, ni mapema mno kwa Mh. Rais kuagiza trafiki yule apandishwe cheo wakati upelelzi bado unaendelea?
2. Je, kutajwa kwa askari yule katika vyomb vya habari kunamweka katika nafasi gani kiusalama?
3. Je, vyombo vya habari 'vimemlinda' kwa kiasi gani trafiki yule dhidi 'wabaya' wale?
Kila la kheri!
